Wanaharakati Kenya wataka watenda ghasia za 2008 kuhukumiwa
Mfuasi
wa chama cha Orange Democratic Party ODM akibepa panga mbele ya
kizuizi kinachowake moto wakati wa ghasia za 2008 katika kitongoji cha
Kibera Nairobi.
Ripoti hiyo inatoa wito kwa serikali ya Kenya kuunda mahakama maalum kuwahukumu wale walohusika moja kwa moja katika kushambulia watu wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi 2008.
Akizungumza mjini Nairobi wakati wa kuzindua ripoti, mratibu wa KPTJ, Bi, Carole Theuri, alisema kunahaja ya kuundwa mahakama itakayowahukumu wale watu wa kawaida walotenda ghasia za 2008.
Kutoka VOA

0 comments: