CHEKI PICHA: MASUMBWI KATI YA WABUNGE HALIMA MDEE, ESTER BULAYA VS WAIGIZAJI AUNT EZEKIEL,JACLINE WOLPER
Ni
mapambano ya masumbwi kati ya Wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na
waigizaji wa Bongo Movie, Jackline Wolper na Aunt Ezekiel. Mapambano
yote yamemalizika kwa sare Hapa uwanja wa taifa ilikuwa burudani ya
kutosha! Tazama picha upate kujionea yaliyojiri.
0 comments: