BRAZIL OUUUUUUT.......!

...................
Robinho scores against ParaguayTimu ya Taifa ya Brazili imepata kipigo cha penati kutoka timu ya Taifa ya Paraguay.timu hizo zilitoka sare ya 1-1 katika dakika za mchezo kwa magoli ya Robinho(Brazil) dk 15 na Gonzalez(Paraguay) dk 72 kwa mkwaju wa penati. Kwa kipigo hiki ndoto za kuwa mabingwa wa copa america zimeishia hapa.
Kipigo hiki kwa brazil ni tukio linalojirudia ambapo mwaka 2011 walitolewa na paraguay kwa pernalt pia katika hatua kama hii.

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: