CHANGAMOTO YA ELIMU:MTANILA WAKAMILISHA UJENZI WA MAABARA

...................

Mratibu elimu kata ya Mtanila wilayani Chunya,Venant Lymo akikagua kazi ya ufungaji madirisha ya Aluminium katika moja ya majengo ya maabara kwenye shule ya sekondari ya kata hiyo ikiwa ni ukamilishaji wa agizo la rais mstaafu Jakaya Kikwete la kuzitaka shule zote za sekondari kuwa na maabara kwaajili ya masomo ya sayansi.Kulia ni fundi Daudi Mkilima aliyefanya kazi ya kufunga madirisha hayo




http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: