NIMEVUTIWA NA HILI TOKA FACEBOOK

...................


HISTORIA
Pichani anaevishwa beji ya uanjeshi uliotukuka ni mmoja kati ya makomandoo hatari waliotokea kwenye jeshi la wananchi wa tz miaka ya 1964..alikuwa ni mtu hatari ambaye alikiwa kwenye mstari wa mbele kwenye mapinduzi ya zanzibar kiasi kwamba baada ya mapinduzi ya znz ilibidi ahamishiwe bara..kwa kuhofiwa na kina karume angewaza fanya mapinduzi mengine...katika miaka 70 aliongoza kikosi maalum dhidi ya choko choko za rais KAMUZU BANDA wa malawi..ambapo alimwacha BANDA akiwa haamini kilichotokea kinaweza fanywa na majeshi kutoka tz...ilifikia hatua serikali ya nyerere ilishindwa kumuamini na kumkabidhi kwa nchi mojawapo jirani na tanzania awasaidie kupata ukombozi...kazi aliyofanya huko mpaka leo imebaki kwenye vitabu vya historia alifariki na kuzikwa kwenye hiyo nchi..baada ya serikali ya tz kukataaa kumpokea kwa kumuofia sana..mkewe kwenye miaka ya 98 alikuwa mwanasiasa machachari sana tz..ni nani?

Top of Form
Comments
5 of 33

Bottom of Form
Andrew Kifanga Colonel Mahfudh
Like · Reply · 1 · 3 hrs

Gady Beneth Mahenge Mshukuriwe kwa mada hii yenye elimu hasa kwetu vijana wadogo.
Like · Reply · 1 · 3 hrs

Olayce Thomas Anaitwa Arnold Schwarzenneger na aliyafanya hayo kwenye ile movie yake ya COMMANDO
Like · Reply · 1 · 2 hrs · Edited

Othumani Kihedu Colnel mahfoudh huyo alifia msumbiji kama sikosei
Like · Reply · 1 · 2 hrs

Mwarobaini Jini Kanal mahfudh huyu enzi za vita ya kagera alikuwepo,,,ktk kikao cha idd amini na makamanda wake wa vita kambi ya mbarara aliacha ujumbe wa maandishi unasomeka"idd amin salam mimi colnel mahafudh nilikuwepo hapa na nyinyi nimewasoma mikakati yenu nawatakia mapambano mema,,,,,idd amin alistuka na kuogopa sana akawaambia makamanda,,huyu mahafudh nimesoma naye israel ni mtu hatari sana na anatisha,,,
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: