Chris Brown Umerudia Tena.........!

...................

Chris Brown atuhumiwa kumpiga mwanamke


  Brown
  Brown alikiri makosa ya kushambulia Rihanna mwaka 2009 
 
Polisi katika jiji la Las Vegas, Marekani wanachunguza madai kwamba mwanamuziki mashuhuri wa R&B Chris Brown alimpiga mwanamke Jumamosi.
Mwanamke huyo anadai msanii huyo alimgonga usoni alipojaribu kumpiga picha.
Kisa hicho kinadaiwa kutokea katika hoteli alimokuwa Chris Brown mapema Jumamosi asubuhi.
Mwanamuziki huyo hajazungumza lolote kuhusiana na madai hayo.
  Brown
Chris Brown na Rihanna walikuwa wapenzi
Mwaka 2009, Brown aliagizwa kukaa miaka mitano bila kufanya kosa baada ya kupatikana na hatia ya kumpiga nyota wa muziki wa pop Rihanna

chanzo:bbcswahili
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: