WAFAHAMU MARAIS AMBAO BABA ZAO WALIKUWA MARAIS

...................

 John Adams na mtoto wake, John Quincy Adams, ambapo walikuwa rais wa pili na rais wa sita wa Marekani, Set ya pili kwa Marekani ni George H. W. Bush aliyekuwa rais wa  41 na mtoto wake George W. Bush, aliyekuwa rais wa  43 .

Rais wa Botswana
 .Ian Khama, Rais wa sasa wa Botswana ni mtoto wa Sir Seretse Khama, ambaye ni kiongozi wa kwanza wa Taifa hiloBotswana.

Rais wa Kenya
Uhuru Kenyatta  ni Rais wa 4 wa Kenya ni mtoto wa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jomo Kenyatta. Kenyatta,
Kenya
Rais wa jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC)
Joseph Kabila, ni Rais wa sasa tangu2001. Alipewa nafasi hiyo siku kumi baada ya kifo cha baba yake  Laurent-Désiré Kabila.
DRC.
 
President of Gabon
Rais wa sasa wa Gabon, Ali Bongo Ondimba, ni mtoto wa  Omar Bongo aliyekuwa rais tangu 1967 mpaka mauti ilip omfika mwaka2009.
Gabon
  Rais wa Togo
 Faure Essozimna Gnassingbé, amepata wadhifa huo baada ya kifo cha baba yake Gnassingbé Eyadéma, mwaka 2005 aliyekuwa rais wa nch hiyo.
Togo
  Zaidi soma hapa africacradle

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: