FAINALI YA KOMBE LA MBUNGE TUNDUMA YAPATA DOSARI

...................


Leo 25/09/2016 kumekuwa na mechi ya fainali ya kombe la mbunge hapa tunduma. Fainali hiyo imezikutanisha timu za Morning Star na Migombani Fc ambapo katika dakika ya 111 hali ya sinto fahamu ilijitokeza na kusababisha vurugu kutokea iliyosababisha mechi kuvunjika

zaidi anatupasha shuhuda aliyekuwepo uwanjani, sikiliza sauti yake



pia tumefanikiwa kupata maelezo ya tukio kutoka kwa mchezaji wa morning star msikilize hapa



 
                                                VURUGU ZIKIWA ZIMEANZA
 VITI VIKIWA VIMEHARIBIWA

POLISI WAKIWASILI ENEO LA TUKIO KUWEHA MAMBO SAWA YA KIUSALAMA
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: