Mtwara pamekucha:

...................

Mkakati wa kukusanya, kuchoma moto kadi za CCM, na mengineyo

  • Mkakati wa kukusanya kadi za CCM na kurudisha au kuzichoma moto unaratibiwa.
  • Tarehe 29/05/2013 ingawa taarifa sio rasmi kunaweza kusiwe na shughuli yoyote.
  • Watuhumiwa wa vurugu (wengi wao vibarua wa ujenzi wa bara bara na wanafunzi wa vyuo pamoja na vijana wa mtaani) wamefikishwa mahakamani kwa shitaka la uchochezi na wamenyimwa dhamana.
vurugu-mtwara-pichavurugu-mtwara

vurugu-mtwara-picha-3

vurugu-mtwara-picha-0

vurugu-mtwara-picha-2

 








http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: