MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU DAR (UDSM) AFARIKI DUNIA GHAFLA AKIWA AMEPUMZIKA JIONI HII

...................


Taarifa ambazo zimetufikia kwenye chumba cha habari muda huu ni kwamba mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam amefariki dunia ghafla akiwa amelala

Mwanafunzi huyo aliyetambulika kwa jina la Sakabenga amefariki akiwa amepumzika chumbani kwake na sababu za kifo hicho hazijajulikana

Mwili huo wa marehemu tayari umechukuliwa na umepakiwa kwenye gari tayari kwenda kuhifadhiwa
chanzo:eddyblog
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: