KICHAPO TAKA FC PORTO CHA SABABISHA DAKTARI WA TIMU KUJIUZURU

...................



Timu ya fc porto imesababisha daktari wa timu ya fc bayern munich kuachia ajira yake kwa madai kuwa idara ya utabibu wa klabu hiyo imelalamikiwa kuwa ni sababu ya kufungwa goli 3 kwa moja

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: