SENTENSI 14 za uongo wa wanawake
1-I Love u baby
2-Nipo singo
3-Nipo serious kuhusu wewe
4-Sikuwa na credit
5-Nitafanya chochote kwa ajili yako
6-Nataka unioe
7-Niamini
8-Sinto achana na wewe
9-Naomba usiniache
10-Usipige, Ntakupigia baada ya mda kidogo
11-Subiri nipo na baba
12-Nyumbani kulikuwa na wageni nikashindwa kutoka
13-NAAPA...! we ndio pekee
14-Nipo period baby plz next time
Wizi mtupu watumie wanaume 5. ili wajue wanawake walivyo matapeli..
0 comments: