CHELSEA YAONYESHA JEURI YA PESAAA........SOMA HAPA

...................

.
 

Timu ya soka ya chelsea imetoa offer nono ya euro £11m na kuipiku offer ya timu ya Tottenham ya kuomba kutumia uwanja wa Wembley kwa muda wa miaka 3 kuanzia 2017 hadi 2020 wakati wakiwa wanajenga uwanja mpya utakao kuwa unachukua mashabiki 60000. Ofa waliyotoa chelsea ni euro 3m zaidi ya ile iliyotolewa na Tottenham ambao nao wanataka kufanya ukarabati wa uwanja wao

Chelsea wana sharti moja la kimatumizi la uwanja huo la kuingiza mashabiki 50000 tu kwa kila mechi

Chelsea revealed plans for their new 60,000-capacity stadium at Stamford Bridge last weekplan ya uwanja mpya wa chelsea


Chelsea owner Roman Abramovich is driving through the plans to redevelop Stamford Bridgebosi wa chelsea mtoa pesa

Tottenham intend to build a new stadium of up to 61,000 capacity within the new few yearsuwanja wa Tottenham

source:daily mail

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: