UMITU CUP: MIGOMBANI V/S THE GREEN FC PACHIMBIKA
UMITU CUP
Ligi
ya umitu imeendelea hapa mji wa Tunduma siku ya leo kwa mechi kali kati
yaTHE GREEN FC NA MIGOMBANI. mechi hiyo kali ya kukata kwa mundu
ilishuhudia timu hizo zikimaliza dakika 90 bila kupata mbabe.timu zote
zilitoka na bao moja ambayo yalifungwa katika vipindi vyote viwili,moja
mwishoni mwa kipindi cah kwanza na jingine mwanzoni mwa kipindi cha piliKiujumla mchezo ulikuwa mkali sana kwa pande zote mbili kuonyesha kandanda safi japo ubabe mchezoni haukosekani
hapo chini panaonyesha vikosi na wafungaji
WAFUNGAJI | ||||
THE GREEN FC | MIGOMBANI | |||
Mateni dk 65 | Denis dk 40 | |||
TIMU ZILIVYOKUWA | ||||
THE GREEN FC | MIGOMBANI | |||
SADAM | SADICK | |||
JOSEPH | HASHIM | |||
AKILIMALI | PAILOT | |||
MATENI | RUGADE | |||
JOSEPH MTAMBO | AMILIKE | |||
DANIEL | GUDU | |||
BRYAN C | FRANK | |||
ASHEL | ISAYA | |||
ABDI | VENANCE | |||
JOHN | FRANK | |||
BARAKA | DUDU | |||
SUB | SUB | |||
RAFAEL | ZACKY | |||
YUSUPH | VISE | |||
AMISO | HASHIM | |||
OSCAR | NEGO | |||
ZUBERI | ANTONY | |||
AUGUSTINO | ||||
PUNTE |
0 comments: