COPY FROM HABARIKA BLOG Lowassa apinga matokeo ya uchaguzi TZ

...................
Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CHADEMA Edward Lowassa amesema kuwa hatokubali matokeo ya uchaguzi wa urais yanayoendelea kutolewa na tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC. Amesema kuwa ana ushahidi wa kutosha kwamba kuna udanganyifu uliofanyika. Amesema kuwa kura za chama hicho zimepunguzwa katika vituo vingi vya kupigia kura. Wanadai kwamba kura zilizohesabiwa katika maeneo tofauti haziambatani na matokeo yaliotolewa. [ 26 more words. ]
http://habarikwanza.com/…/lowassa-apinga-matokeo-ya-uchagu…/
Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CHADEMA Edward Lowassa amesema kuwa hatokubali matokeo ya uchaguzi wa urais yanayoendelea kutolewa na tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC. Amesema kuwa…
habarikwanza.com

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: