AJALI YATOKEA MBUGA YA MIKUMI NA KUUA NYATI WANNE NA KUSABABISHA FOLENI KUBWA

...................




Wanyama aina ya Nyati wanane wakiwa wamekufa baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso kwenye mbuga ya Wanyama ya Mikumi na kusababisha foleni ya magari. 

Tukio hili limetokea alfajiri ya leo tarehe 4 Desemba 2015.
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: