HATIMAYE KIUNGO WA BARCELONA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA JELA

...................
The former Liverpool midfielder pictured arriving at the court for Thursday's hearing in Barcelona.
AKIINGIA MAHAKAMANI
The hearing on Thursday lasted only 10 minutes, according to reports in Spain.
AKIWA KIZIMBANI KWENYE HUKUMU
Javier Mascherano leaves court in Barcelona on Thursday after admitting two counts of tax fraud.
AKIONDOKA ENEO LA MAHAKAMA BAADA YA HUKUMU KUTOLEWA


Mchezaji wa Timu Ya Taifa ya Argentina na kiungo wa barcelona Javier Mascherano amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kukwepa kulipa kodi, tukio kama hili lilimkuta mwaka jana ambapo alilipa na riba kwa kosa kama hili.
Zaidi bofya link hii: http://www.dailymail.co.uk
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: