MWENYE JINSIA MBILI ANENA ANAVYOJISIKIA

...................
 
Mtu huyo anasema toka akiwa mdogo amekuwa akiishi maisha kama mwanaume lakini mama yake alimwambia aishi kama mwanamke kutokana na hali za kike ambazo zilikuwa zikimtokea lakini yeye anasema hapendi kuishi kama mwanamke………
>>>’Nakumbuka nilishawahi kununuliwa gauni, ile gauni sikuivaa, baada ya mama kunilazimisha niliichana, kuishi mazingira ya mwanamke siwezi napenda kuwa mwanaume, nilishabahatika kuwa na mwanamke lakini sijawahi kufanikisha kufanya nae tendo la ndoa’









chanzo:http://millardayo.com/hekaheka65/
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: