UNAFAHAMU KINACHOENDELEA KATANI SOGEA, MJINI TUNDUMA.............?

...................

Diwani wa kata ya sogea amedhamini ligi ya mpira wa miguu inayoitwa MWAVILENGA CUP. Ligi hiyo ni kwaajili ya kuhamasisha maendeleo katika kata yake na kutafuta vipaji kwaajili ya kuunda timu ya kata yake

Kwa kuwa tulichelewa kupata taarifa ,tumeshindwa kutoa taarifa ya mechi siku ya ufunguzi, lakini tunaahidi kuwa nanyi kadiri ligi itakavyoendelea
 
Kutoka kushota Mtafuta vipaji kwaajili ya timu ya sogea, Mh Diwani, mwanahabari wetu, Mh Meya, kiongozi wa ligi na refaree wa mechi ya tr 25/1/2016
.
 mwanahabari wetu wa kata ya sogea













.

 .

 

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: