Zidane: CR7 haondoki Real Madrid

...................

Spanien Zinedine Zidane in Madrid

Kocha mpya wa miamba wa Uhispania Real Madrid Mfaransa Zinedine Zidane ameonya kuwa mshambuliaji nyota Cristiano Ronaldo maarufu kama CR7 hataondoka klabu hiyo chini ya uongozi wake
Zidane amesema CR7 ndio roho ya Real Madrid na atafanya kila kitu kumsaidia ajiskie mwenye furaha. Kulikuwa na fununu kuwa Mreno huyo atakayefikisha umri wa miaka 31 mwezi ujao alishindwa kuelewana na kocha aliyeondoka Rafa Benitez

Zaidi bofya link hii www.dw.com/sw/

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: