Wanaotuhumiwa kumvua nguo Mtanzania mbaroni India

...................

 Gari chomwa


Gari la wanafunzi hao liliteketezwa

 


Wanaume watano wanaotuhumiwa kuhusika katika kumshambulia na kumvua nguo mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 21 kutoka Tanzania wamekamatwa, shirika la habari la AP limeripoti.
Ubalozi wa Tanzania nchini humo umeitaka India kuhakikisha usalama wa wanafunzi wote kutoka Afrika wanaosomea nchini India, vyombo vya habari vinasema.

Zaidi bofya link hapa chini

http://www.bbc.com

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: