ZUMA NJE MIEZI SITA

...................
Kurt Zouma
Mchezaji wa timu ya chelsea (ZUMA) hatacheza mechi kwa muda wa miezi sita kutokana na kuumia mguu katika mechi waliyotoka sare na timu ya Man utd . Mchezaji huyo mwenye miaka 21 pia atafanyiwa upasuaji kwa tatizo hilo. zaidi bofay link hapo chini
http://www.bbc.com
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: