Korea Kaskazini yajibu vikwazo vya UN

...................


 
Korea Kaskazini imerusha makombora ya masafa mafupi 
 
Korea Kaskazini imerusha makombora ya masafa mafupi, baharini kujibu vikwazo vipya ilivyowekewa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
 
Kombora hilo limerushwa kulalamikia vikwazo vya Umoja wa Mataifa
Jeshi la Korea Kusini limethibitisha kushuhudia shughuli hiyo na kusema haikulenga yeyote. Wadadisi wameonya kutokea taharuki kwenye rasi ya Korea kutokana na vikwazo hivyo.
Korea Kaskzini ilifanya majaribio ya nyukilia hapo mwakani. Chini ya vikwazo vipya mizigo yote inayoingia Korea Kaskazini kutoka nje itaanza kukaguliwa, huku watu kadhaa na mashirika yakiwekewa vikwazo.


chanzo:bbcswahili
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: