UNAFAHAMU NENO MUNGU NI KIKWAZO NCHINI KENYA..? SOMA HAPA

...................


Walahidi Kenya wadai kuondolewa kwa neno 'Mungu' kwa wimbo wa taifa


Walahidi Kenya wadai kuondolewa kwa neno 'Mungu' kwa wimbo wa taifa
Walahidi nchini Kenya wanataka neno 'Mungu' katika Wimbo wa Taifa la Kenya kuondolewa .
Jamii hiyo isiyoamini kuwepo kwa Mungu ilidai kuwa kuwepo kwa neno 'Mungu' katika ubeti wa kwanza haileti picha ya umoja wa taifa kwani si wakenya wote wanaoamini kuwepo kwa Mwenyezi Mungu.
Aidha pia walisema kuwa kuwepo kwa neno 'Mungu' katika wimbo wa Taifa ni kinyume na katiba kwani Kenya ni taifa la kidunia .
Walahidi nchini humo wamedai kuwa wanahisi kusahaulika wakati wowote wimbo wa taifa unapoimbwa


chanzo: http://www.trt.net.tr
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: