JE WAJUA HILI...?Chocolate' chungu ni muhimu kwa afya ya moyo
Utafiti
uliofanyika katika chuo kikuu cha Brown nchini Marekani kitengo cha
afya ya 'Global cardiometabolic Health Center' wadhihirisha kuwa watu
wanaokula angalau kipande kimoja cha 'Chocolate' chungu huepuka maradhi
ya moyo,magonjwa ya sukari na kuwa na usawa katika kiwango chao cha
homoni ya 'Insulin'.
Matumizi ya kati ya miligramu 200 na 600 ya 'Chocolate ' chungu isiyo na maziwa hupunguza hatari ya kuwa na ongezeko la Kolestroli .
Utafiti huo ulifanywa na mkuu wa kituo hicho cha afya Dr. Simin Liu na mwanafunzi wake Lin Xiaochun ambapo wanafunzi 139,000 walifanyiwa uchunguzi wa maradhi ya moyo.
chanzo: http://www.trt.net.tr
Matumizi ya kati ya miligramu 200 na 600 ya 'Chocolate ' chungu isiyo na maziwa hupunguza hatari ya kuwa na ongezeko la Kolestroli .
Utafiti huo ulifanywa na mkuu wa kituo hicho cha afya Dr. Simin Liu na mwanafunzi wake Lin Xiaochun ambapo wanafunzi 139,000 walifanyiwa uchunguzi wa maradhi ya moyo.
chanzo: http://www.trt.net.tr

0 comments: