AJALI YA NDEGE YAPOTEZA WATU 76 WENGI WAO NI WACHEZAJI WA TIMU YA SOKA.

...................

kwa sasa dunia imekumbwa na tukio la nne la vifo vya wachezaji kwaajali ya ndege, tukio la kwanza la Man utd, Torino na Zambia

Players and staff of the Chapecoense team pose for a photograph in front of the plane before their fateful flight

A rescue worker inspects the shattered fuselage of the plane that came down in a mountainous part of Colombia.

Moja kati ya habari au matukio makubwa yaliyotokea asubuhi ya November 29 2016 ni taarifa ya kikosi cha timu ya soka ya Chapecoense ya Brazil kupata ajali ya ndege wakiwa angani kuelekea kutua katika uwanja wa ndege wa Medellin.
screen-shot-2016-11-29-at-1-52-46-pm
Ndege hiyo kabla ya kuanguka katika milima ya Colombia ilianza kupotea katika rada, ndege hiyo ya shirika la ndege la Airline LaMia  imethibika kuwa ilikuwa imebeba abiria 72 na wafanyakazi 9 wa ndege, abiria hao 72 wanaripotiwa wote walikuwa ni msafara na wachezaji wa timu ya Chapecoense ya Brazil.
1047951604
Kikosi cha timu hiyo kilikuwa kinasafiri kuelekea Colombia kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa fainali ya Sudamerican dhidi ya Atletico Nacional ya Colombia ambapo mchezo huo ungechezwa Jumatano ya November 30 2016,  kati ya watu 81 waliokuwemo katika ndege hiyo ni watu 5 ndio wametoka salama na 76 wameripotiwa kupoteza maisha.
screen-shot-2016-11-29-at-1-53-04-pm.

 MAAMUZI YA TIMU YA Atletico Nacional ya Colombia BAADA YA AJALI YA NDEGE

 
Klabu ya Atletico Nacional ya Colombia ambapo ilikuwa icheze mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Sudamericana kesho Jumatano ya November 30 2016 Colombia dhidi ya klabu ya Chapecoense ya Brazil imetangaza maamuzi tofauti.
1480397623_017517_1480398498_noticia_normal
Atletico Nacional ambapo ndio wangekuwa wenyeji wa mchezo huo wa fainali ya kwanza, wameomba shirikisho la soka la America Kusini (CONMEBOL) kuwa kutoa Kombe hilo kwa timu ya Chapecoense ya Brazil kama sehemu ya heshima.
a-nacional-sampiyon-chapecoense-ilan-edilsin-8079098
Msafara wa watu 72 wa timu ya Chapecoense ya Brazil wamepata ajali ya ndege asubuhi ya leo  wakiwa Colombia, ndege hiyo imepata ajali ikiwa na jumla ya watu 81 kati ya hao watu 9 ni wafanyakazi wa ndege, katika list ya watu 81 ni watu watano tu ndio wamefanikiwa kutoka salama.
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: