FAHAMU UGONJWA UNAOAMBUKIZWA KAMA UKIMWI, KATI YA WATU 100 NANE WAMEAMBUKIZWA

...................


Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kuanza kufanya uchunguzi wa Virusi vya homa ya Ini (Hepatitis B) na kutoa tiba bure kwa wagonjwa watakaobainaika kuwa nao kwa kutumia dawa ya Tenefovir katika kipindi cha miaka mitano ijayo kuanzia tarehe 1 December 2016.
Tanzania itakua nchi ya pili ukanda wa Afrika Mashariki kuanza kutoka huduma ya uchunguzi na matatibu ya ugonjwa wa Ini baada ya Rwanda ambayo imeshaanza udhibiti wa tiba ya ugonjw ahuo.
Kwa mujibu wa Dr. John Lwegasha ambaye ni Daktari bingwa wa magonjwa ya Ini na Matumbo kutoka Hospitali ya Muhimbili amesema nchini Tanzania kati ya watu 100 watu nane wameambukizwa Virusi vya homa ya Ini.
.

chanzo:millardayo.com
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: