MTU MUHIMU ALIYESAHAULIKA MAN UTD

...................

Timu ya man utd inafanya vibaya, tatizo  nini, tuseme haina wachezaji wa kuiwezesha kupata mafanikio? au kocha kashindwa kuiongoza timu? au kocha kashindwa kupanga timu? Yote yanawezekana na mengine mengi. Lakini kwa mtazamo wangu naona kocha kashindwa kuwatumia wachezaji katika nafasi sahihi. Lakini kubwa zaidi ni kwamba mtu mmoja muhimu alisahaulika kabisa ndani ya kikosi. Mtu huyo ni Michael Carrick, Mtu huyu amekuwa muhimu toka enzi za babu kafanya makubwa na kuwa na rekodi nyingi zisizofikiwa na mtu, Lakini ukweli umejionyesha katika mechi mbili alizocheza msimu huu nini  kakifanya.

Ukitazama mechi ya jana Carrick kaonyesha hakuna sababu ya yeye kutocheza, kamiliki mpira na kuchezesha wenzake hadi galasa Rooney kang'aaa hata Pogba kaonekana

hapo chini panaonesha jinsi Carrick alivyomiliki mpira
Here is a map for Carrick's touches at the Liberty Stadium
Here is a map for Carrick's passes at the Liberty Stadium
Kutokana na mchango wake Pogba naye kaweza kumiliki na kutoa pasi kama inayojionyesha hapo chin

Here is Pogba's touch map from Sunday afternoon
Here are Pogba's passes on a graphic from Sunday afternoon

Habari zaidi
http://www.dailymail.co.uk
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: