Panya buku kutumika kupima kifua kikuu Tanzania

...................

Tanzania imezindua maabara kubwa ya aina yake mjini Dar-Es-Salaam inayopima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) kwa kutumia panya buku. 

Kwa mujibu wa wataalamu wa maabara hiyo, panya mmoja ana uwezo wa kupima sampuli 100 na kutoa majibu ndani ya dakika 20 ikilinganishwa na njia nyingine ambapo majibu ya sampuli hutolewa kwa wastani wiki mbili. Je inawezekanaje? Hebu msikilize Regina Mziwanda.



zaidi waweza soma kupiti link hizi

 http://jumamtanda.blogspot.com/2016/11/panya-buku-hutumia-dakika-20-tu-kupima.html
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: