Chakula kinavyoharibikia sokoni Afrika

...................








Machungwa yaliyoharibika wakati watoto wengi wanhitaji madini ya vitamin C . Hebu tafakari hilo




 Soko la Marikiti ndilo lenye idadi kubwa ya wauzaji wa mgoga na matunda. Chakula huletwa katika soko hili kutoka kote nchini Kenya



 
 Wanafunzi wa shule ya upili ya St Georges nao pia walifika kwenye soko la Marikiti kujionea shughuli za uuzaji na hata kuwa wauzaji kwa siku hiyo










Msanii na mwimbaji mashuhuri nchini Kenya Emmy Kosgei aligeuka muuza nyanya katika soko mashuhuri la mboga na matunda Nairobi, Marikit

 
Pamoja na kuwa ni hasara kwa wafanyabiashara kwa mazao yao kuharibikia sokoni, ni vibaya kwa chakula kuharibika wakati watu wengi wanakosa lishe bora dunian

 
Hii ni Dhania ambayo imeharibika ikiwa sokoni. UNEP linasema kuwa thuluthi moja ya chakula Afrika hukaribika kabla ya hata kufika sokon

Je unafahamu kiwango cha chakula ambacho huharibiwa sokoni na ambacho ikiwa kingefika kwa meza za watu, basi nchi nyingi Afrika zisingekuwa na njaa?
Amini usiamini jambo hili hufanyika katika masoko mngei barani Afrika mji wa Nairobi ukiwa haujaachwa nyuma.
Mwaka huu dunia ilipoadhimisha siku ya mazingira duniani, wasanii mashuhuri mjini Nairobi Kenya walijitokeza kuhamasisha wafanyabiashara sokoni nyenzo za kuzuia kuharibika kwa chakula kikiwa sokoni huku nao wakigeuka wafanyabiashara kwa siku hiyo.
M,pango wa umoja wa mataifa wa kulinda mazingira UNEP, ndio ulidhamini mradi huo maalum. Shirika hilo linasema kuwa karibu thuluthi moja ya chakula katika mataifa ya kiafrika kuharibiwa hata kabla ya kufika sokoni.
Emmanuel Igunza alishuhudia harakati za wasanii hao na kupiga picha hizi

chanzo:bbcswahili

 

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: