Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa
Mataifa la elimu na Utawaduni-UNESCO asili mia 62 ya wasichana Afrika
wameweza kuingia shule za upili, hata hivyo nchini Tanzania ni asili mia
32 pekee ya wasichana ambao wanaweza kujiunga na shule za upili.
11 Julai, 2013 - Saa 10:34 GMT
Baba wa kambo wa Sylvia amekua
akiona malezi yake kama mzigo hasa elimu, lakini kwake Sylvia anasema
elimu ni njia pekee ya kubadilisha maisha ya familia yake
chanzo:bbcswahili.
0 comments: