KWA MZAZI UNAYESOMESHA LEO SOMA HAPA
DODOMA UNIVERCITY WAJA KWA KASI KATIKA BIASHARA YA UCHANGUDOA
CHUO KIKUU cha Dodoma UDOM kinadaiwa kukumbwa na kashfa ya ngono kufuatia madai kwamba baadhi ya wananafunzi wa kike wanajihusisha na biashara ya kuuza miili yao kwa lengo la kujikimu kimaisha.Tuhuma hizo zimebainika wakati wa mahafali ya tatu ya UDOM huku takribani wahitimu 6392 wakitunukiwa vyeti,stashahada,shahada za kwanza,uzamili na shahada za uzamivu.
Ikumbukwe
 kwamba chuo cha dar es salaam ndio was seemed to have a number of 
collegies wanaouza miili yao. Haya ni mapinduzi kwa chuo hiki 
kinachokuja kwa kasi hasa kikiwa ni chuo cha kwanza kwa ukubwa na idadi 
ya nomber ya facult africa mashariki, kuna vyuo kama IFM na CBE  ambavyo
 toka mda vimekuwa na sifa mbaya hii ya wanawake kujiuza. Katka mji 
mdogo kama Dodoma mji mkuu wa tanzania ni  skitiko la watanzania wengi 
hasa tunapojaribu kujiuliza wanachuo hawa wanajiuza je ni nani 
anaewanunua la asha ili ni swali kila mtu anapaswa kujiuliza mimi 
nshajiuliza wewe je!
CREDIT TO BONGONEWS 

0 comments: