MAONI YANGU JUU YA FAINALI YA EUFA

...................






MADRID HAWAJACHEZA KATIKA KIWANGO KIZURI SABABU WALIATHIRIWA NA MAMBO MAWILI
1.       UWEPO WA WACHEZAJI RONALDO NA BALE
Wachezaji hawa wote ni ghali na kila mmoja angependa aonyeshe kiwango na dunia imtambue hivyo bale alikuwa mchoyo wa pasi. Pia wachezaji hawa wanataka kuonyesha viwango kombe la dunia na hiyo imewafanya kucheza kwa tahadhari.
2.       KABLA YA MECHI VYOMBO VYA HABARI VIMECHEZA MECHI
Vyombo vingi vya habari vimemkuza sana bale kabla ya mechi. Jambo hili limewaharibu ronaldo na bale kisaikolojia

RAMOS KAIRUDISHA MCHEZONI MADRID


HONGERENI KWA USHINDI

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: