...................

Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka

28 Aprili 2015 Imebadilishwa mwisho saa 21:37 GMT
Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka hadi kufikia anguko la asilimia 20 dhidi ya dola ya Kimarekani,hali inayotajwa kuwa si tu inaathiri mitaji ya uwekezaji bali pia kipato cha mtu binafsi. Kwa sasa ubadilishaji wa shilingi ya Tanzania kwa dola ya Kimarekani imefikia shilingi elfu mbili kwa dola moja na kuathiri mwenendo wa kiuchumi.
Mwandishi wetu Leonard Mubali kutoka Dar es Salaam, amezungumza na waziri kivuli wa wizara ya fedha, nchini humo, James Mbatia ambaye alianza kwa kubainisha kuporomoka kwa sarafu hiyo:
chanzo:bbcswahili
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: