Mario Balotelli anamkosi gani...?

...................
Mario Balotelli at Melwood on August 25 ....Balo striker wa ukeli ambaye hadi sasa uhamisho wake unajumla ya £59m kwa sasa hakuna club inayomwitaji.Balotelli aliyehamia liverpool kwa mbwembwe na kushindwa kuonyesha cheche,anaishia benchi kutokana na tabia zake zisizo za kisoka.

timu ya sampdoria iliyokuwa inamhitajimchezaji huyo imetangaza wazi haimuhitaji tena mchezaji huyo.
Kocha wa sampalinukuliwa akisema"balotelli na casano ni wachezaji wenye vipaji lakini sisi hatuwezi wasajili". Kwa maana hiyo uwezekano wa kurudi Italia ni mgumu kwake na kuongeza matumaini ya kuendelea kusugua benchi liverpool,hii ni kwa sababu hakuna timu yeyote inayomwitaji balo kwa sasa

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: