SIMANZI TUNDUMA.CHUI ASAMBARATISHWA

...................

Timu ya soka ya SOGEA UNITED leo imetoa kichapo kikali kwa timu ya TIGER FC na kupelekea simanzi kubwa kwa mashabiki wa timu hiyo. Vijana wa SOGEA chini ya kocha wao(mwampashi) wakiwa wamejiandaa vyema waligawa dozi ya mabao 4 kwa nunge. Kichapo hicho kilikuwa cha pili katika mfululizo wake kwenye ligi inayoendelea mjini hapa, baada ya kuitembezea kichapo timu kali ya MORNING STAR kwenye mechi ya kwanza.
Magoli ya sogea united yamefungwa katika vipindi vyote viwili ambapo kipindi cha kwanza walifunga goli 3 na kipindi cha pili walifunga goli moja. Ligi hiyo inaendelea ambapo kila siku kuna mechi zinaendelea nasi tutazidi kuwaletea habari za mechi hizo
.
wachezaji wa sogea united wakiwa katika maandalizi kabla ya mechi (aliyevaa mzula ni kiongozi bwana Jose)

. 
Mr Rich ni mchezaji kiongozi

.
muuaji Nico a.k.a Nasri akiwa na Puyol

/
wachezaji katikt picha





.
KOCHA WA TIMU aliyeshika koti

.
KIPA WA TIMU YA SOGEA UNITED

.
MUUAJI WA CHUI AKIWA NA SADAM

.
Mr POLO KABLA YA MECHI


http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: