USAJILI WAMEKAMILISHA, LAKINI NI SAHIHI KUWAITA WASALITI WA KAULI ZAO....!!???

...................
 Fabian Delph, from Aston Villa to Manchester City, $17m
Younes Kaboul, from Tottenham to Sunderland, undisclosed


Aston Villa captain Fabian Delph has signed for Manchester City after performing a sensational U-turn..Awali alitoa tamko kwamba atabaki kukipiga villa park lakini baadaye ndo huyo man city. Akiwa kamwacha kocha wake kashikilia kichwa asijue la kufanya

.
.
Mike Summerbee meets Delph and helps him press his first City shirt after the signing was confirmed.



Younes KaboulMchezaji Younes Kaboul awali agent wake alitamka kuwa hawezi kumpeleka mteja wake sunderland labda yatokee mafuriko, lakini usemi huo tunauchukuliaje baada ya mchezaji huyo kujiunga na sunderland? Je ni kweli mafuriko yametokea? au usitukane mamba kabla hujavuka mto?

kazi kwako msomaji

chanzo:dailymail.co.uk
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: