MOURINHOOOOOOO........................... MMMMH SOMA MWENYEWE HAPA

...................
Jose MourinhoKocha wa the blues amewabwatukia madaktari wa timu kwa kitendo cha kumtibu Hazard wakati mchezo ukiwa unaendeleza huku akidhani kuwa wamechangia timu yake kupata sare, hizi ni kauli za mfa maji. alisema Hazard hakuumia sana wanapomtibu wanamtoa uwanjani tunakuwa tumepungukiwa ukizingatia mmoja kapata kadi nyekundu.

nukuu  "Whether you are a kit man, doctor or secretary on the bench you have to understand the game.
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: