Urais......Majimbo Matatu yametangazwa na Yote Yamechukuliwa na CCM

...................


 Tume  ya  Taifa  ya  Uchaguzi  imeanza  zoezi  la  kutangaza  Matokeo  ya  Urais  ambapo  mpaka  sasa  majimbo  matatu  yametangazwa.  Majimbo  Yaliyotangazwa  ni  Jimbo  la  Makunduchi,Pache  na  Lulindi

Katika  majimbo  yote  matatu  yaliyotangazwa, Dr Magufuli  ameongoza  kwa  mbali  dhidi  ya  mpinzani  wale  Edward  Lowassa.


chanzo:http://www.magazinetz.com
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: