IRAN KUPATA AHUENI SIKU ZIJAZO

...................
Iran Parade zum Tag der Armee 18.04.2014.
 Kila msafiri anayewasili katika mji mkuu wa Iran, Tehran anakuwa mara moja mteja wa Jeshi la Mapinduzi la Iran. Hii ni kwa sababu wanajeshi wa Jamhuri hiyo ya kiislamu wanaendesha shughuli zao katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Imam Khomeini, wakifanya biashara yenye faida kubwa kupitia utozaji wa ada za kuingilia na ndege kutua pekee. Huku wanajeshi hao wakizidhibiti bandari na viwanja vingine vya ndege, Jeshi la Mapinduzi linalojulikana pia kama "Sepah Pasdaran" - linaidhibiti mipaka ya Iran.

Zaidi bofya link hii matumaini-yazidi-kuwa-makubwa-nchini-iran
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: