BREAKING: TAARIFA YA TETEMEKO LA ARDHI LILILOTOKEA LEO BUKOBA

...................


Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imeiambia kwamba imesematetemeko la ardhi lililotokea leo kanda ya ziwa kwenye miji kama Bukoba limesababisha madhara makubwa na watu wengine wamepoteza maisha.
Mamlaka hiyo imesema japo mpaka sasa haijapata idadi kamili ya waliojeruhiwa, idadi ya waliofariki kutokana na tetemeko hilo mpaka jioni ya leo September 10 2016 ni Watanzania wanne ambapo bado juhudi za uokoaji zinaendelea kufanyika

http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: