Samsung galaxy note 7 zasimamishwa kuuzwa

...................


Shirika la Samsung Electronics la nchini Korea Kusini lasimamisha mauzo ya simu aina ya Samsung galaxy note 7

Samsung galaxy note 7 zasimamishwa kuuzwa
Shirika la Samsung Electronics la chini Korea Kusini litasimamisha mauzo ya simu aina ya Samsung galaxy note 7 baada ya simu hizo kugundulika kua zinakosoro ya betri.
Hayo yalifahamishwa na kuthibitishwa na mkurugenzi wa kitengo kinacho jishuhulisha masuala ya simu katika shirika la Samsung Electronic Koh Dong-Jin katika mkutano na waandishi wa habari.
Koh Dong-Jin alifahamisha kuwa walichukua  uamuzi huyo baada ya kupokea malalamiko kwa walionunua simu hizo na kwamba watu hao watabadilishiwa simu hizo na televisheni za kisasa.
Ifahamike ya kwamba Samsung note 7 ilizinduliwa tarehe 19 za mwezi Agosti

 source:http://www.trt.net.tr
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: