WANGAPI WATATUMIA WAKIUPATA "Mmea wa kudumisha ujana"

...................


Mmea wa kudumisha ujana Kayseri nchini  Uturuki

"Mmea wa kudumisha ujana"

Kutokana na kufahamika kwake  katika matibabu ya afya ya binadamu, matunda  ya « gilaburu » yannayopatika katişka mkoa wa Kayseri nchini Uturuki yatawakilishwa katika soko la kimataifa.
Mmea  huo ambao unatoa matunda hayo  unafahamika kwa kuwa na uzito wa vimeleo ambayo viinachangia katika kudumisha ujana.
Mmea huo  ulianza kulimwa mkoani Kayseri kwa mara ya kwanza  baada ya vita vya pilivya dunia na kutumiwa na wakaazi katika eneo hilo.
Mbegu za tunda hilo zina muundo wa punje ambalo zinamaji ndani yake  amboyo hufyonzwa.
Katika wakati wa mavuno ya matunda hayo,  mikoa mingine ya Uturuki huwa ikiotoa taarifa kuwa  nayo inahitaji matunda hayo.

chanzo: http://www.trt.net.tr
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: