NI KWELI MATUMIZI YA INTERNET NI NAFUU TANZANIA KULIKO NCHI NYINGINE ZA AFRIKA?

...................
Gharama za matumizi ya Internet kwa njia ya simu za mkononi nchini Tanzania ni nafuu zaidi barani Afrika, ambayo ni dola 0.89 ya kimarekani kwa kifurishi cha 1GB, ikilinganishwa na Malawi dola 5.8, Afrika Kusini na Nigeria dola 5.26, Kenya dola 5 na Misri dola 2.8, kutokana na matumizi ya mtandao wa 4G na ushindani kati ya makampuni mbalimbali ya simu nchini humo.
chanzo: https://www.facebook.com/kiswahilicri/?hc_ref=NEWSFEED
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: