TAZAMA VIDEO YA ZAINAB ABDALLAH, MKUU WA WILAYA MDOGO KULIKO WOTE TANZANIA

...................


Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainab Abdallah ndio mkuu wa wilaya mwenye umri mdogo kuliko wote Tanzania, pamoja na hayo unaweza kutamani kujua inakuaje kwenye uongozi wake na anafanyaje kazi, kutana nae kwenye hii video hapa chini…

chanzo:milardayo.com
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: