KUMBE JAMBO HILI HALIJAISHA TANZANIA

...................
 
Zaidi ya wasichana 800 walikeketwa kaskazini mwa Tanzania Desemba 2016 licha ya jitihada kadhaa za polisi dhidi ya vitendo hivyo. Ni kitu gani kinachangia kuendelea kwa vitendo hivyo nchini Tanzania? Msikilize Zainab Aziz akimhoji Eddah Sanga mkurugenzi mtendaji wa shirika la waandishi wa habari wanawake Tanzania TAMWA. 
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: