MWANAUME OMBA LISIKUKUTE KAMA HILI . UTAJUTAAAAAAA......!
AMTEMBEZA MUMEWE KAMA MBWA BAADA YA KUMFUMANIA NA MWANAMKE MWINGINE.

Mama
huyu alimfumania mmewe na mwanamke mwingine na mumewe alianza kuomba
msamaha na ndipo mama huyu aliamua kumsamehe ila kwa kumpa adhabu mumewe
na adhabu yenyewe ndiyo kama hiyo unayoiona ya kumtembeza mumewe kama
mbwa kwa muda wa siku 3
Kama
wewe unaweza kukubali kufanyiwa hivyo na wewe mwanamke unaweza
kumfanyia hivyo mpenzi wako/mumeo?? toa maoni yako hapo chini.
chanzo:wajanja wa town

0 comments: