MAAJABU HAYA HAYAPO PENGINE POPOTE ZAIDI YA AMAZONI
msitu wa amazoni unapatikana america ya kusini.msitu huu unamaajabu mengi sana ambayo hushangaza watu wa ulimwengu huu.yafuatayo ni baadhi tu ya maajabu hayo:
1. The Jesus Lizard(mjusi yesu)
japo waliotoa jina hili naweza kusema wamekufuru lakini mjusi huyu anauwezo wa kutembea juu ya maji kwa miguu miwili na hata kukimbia bila kuzama
Chura wa kioo
anapatikana katika misitu ya amazonichura huyu ukimwangalia anangozi angazi inayoweza kukufanya uone viungo na maumbile yake ya ndani kwa urahisi jinsi yalivyo
Chura mwenye kupuka sumu
chura huyu ni mwenye rangi ya kuvutia lakini ajabu yake ukimgusa anasumu ambaya itasababisha kupooza na hata kufa
samaki mwenye umeme
samaki huyu ana nguvu ya umeme inayomsaidia kukamata mawindo yake kwa chakula na wakati wa kusafiri nguvu ya umeme humsaidia kumulikia aendako
kabila la ajabu
katika msitu huu kuna kabila ambalo halina mahusiano na watu wengine wa dunia hii
0 comments: