Rais Zuma aongoza marais wenye elimu kidogo Afrika.Top 3 yao ni hii hapa

...................



1. Jacob Zuma- Republic of South Africa

Top 7 Least Educated African Presidents Zuma alizaliwa KwaZulu-Natal. Hajapata elimu rasmi yeyote baada ya elimu ya hule ya msingi.Aliishia darasa la tatu(standard 3)ambayo ni (now called grade 5)."

2. Joseph Kabila- Democratic Republic of Congo

Mr Kabila maisha yake ya utoto ameishi Tanzania na anajua vizuri lugha ya kiswahili na English kuliko lugha ya kwao kinshasa.– French na Lingala, ambazo anatakiwa kuzitumia awapo kazini. baada ya elimu ya kidato cha tano na sita alisoma mtaala wa jeshi na kujiunga na chuo kikuu cha makerere


3. Presdient Ismaïl Omar Guelleh – Djboutielimu yake kubwa ni ya sekondari zaidi ya hapo hajapata elimu nyingine.

4. President Omar Hassan Ahmad al-Bashir – Sudan

 Omar Hassan Ahmad al-Bashir alipata elimu ya msingi katika kijiji chao cha Hoshe Bannaga na elimu ya sekondari mjini  Khartoum, baada ya hapo hakuna ushahidi mwingine kuonyesha ana elimu zaidi ya hiyo.

5. Yahya Jammeh – Gambia

Anaelimu ya sekondari aliyoipata katika shule ya sekondari Bwiam. Elimu ya msingi aliipata katika shule za Kanilai Primary, Mt Edwards , lakini  elimu ya A level aliipata Gambia high School iliyopo Banjul.


6. Paul Kagame – Rwanda

Kagame alianza masomo ya shule ya msingi karibu na kambi ya wakimbizi ambapo walifundisha kiingereza,baadaye alijihusisha na utamaduni wa kiganda. Akiwa na miaka 9 alihamia shule ya msingi Rwengoro,ambako aliongoza kwa ufaulu na kujiunga na shule ya sekondari Ntare,moja kati ya shule bora nchini uganda

Alifukuzwa shule Ntare na kumalizia elimu yake ya sekondari katika shule ya sekondari Old Kampala . Kagame, Baada ya hapo hajaendelea na masomo mpaka kawa rais.


7. Mohamed Ould Abdel Aziz – Mauritania

Alizaliwa katika kitongoji cha Akjouit,Mauritania mwaka 1956.Baada ya hapo alijiunga na chuo cha jeshi na kuweza kupata kazi katika jeshi la nchi yake. Kiujumla alijiita zaidi katika mambo ya jeshi japokuwa katunukiwa nishani nyingi za jeshi,ni mmoja kati ya marais wenye elimu kidogo barani afrika.


http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: