CHILE YA TOA KICHAPO , SANCHEZ AWA SHUJAA...... LAKINI MESSI CHALI
Katika mtanange huo timu zote zilitoka sare ya bila kufungana kwa dakika zote. Mikwaju ya penalti ikakata mzizi wa fitina. Argentina ya Messi ikapata penalti moja tu iliyofungwa na Messi huku Higuain akikosa na Chile wakifunga nne.
kwa habari zaidi pitia http://www.dailymail.co.uk/sport/ 
0 comments: